HOUSE OF ENTERTAINMENT


JOIN KENYASWAHILINEWS
!-- AdsAgony - Ad Display Code -->

MPYA MPYA ZA LEO

HABARI (193) Michezo (121) BURUDANI (86)

Jumatano, 24 Januari 2018

FINAL ZA DR SHOO CUP KUCHEZWA LEO 26/01/2018.TIMU YA EDU VS LLB KUTAFUTA NANI MBABE

   Dr Shoo Cup KUCHEZWA LEO 26/01/2018.TIMU YA EDU VS LLB KUTAFUTA NANI MBABE




KUTOKA TUMAIN UNIVERSITY MAKUMIRA Arusha.
Final za Dr SHOO cup

Leo kombe la Dr Shoo litatamatika chuoni Tumaini makumira,Zikishuhudiwa miamba miwili ya soka ikuchuana ED3 VS LLB  sa 9:00pm

Mechi zilizochezwa jana25/01/2018

Theology Vs Second year sa 10:00 

Matokeo yalikua2-1 Edu II wakiibuka ms Hindi Wa tatu.


Mashindano haya  yamekua kiunganishi kikubwa kwa wanachua chuoni makumira kwani wanafunzi wote huweza kukutana kama sehemu ya kukuza uhusiano bora.

Pia za wadi nono zitatolewa na mgeni rasmi kwa washindi wa kila mchezo

Wito kwa wadau wasoka na vilabu mbalimbali kutoka mkoa wa Arusha kukaribia kushuhudia vipaji kwa Mendeleo ya soka la Tanzania kwa wachezaji wandani,

By Frolian katisha.