HOUSE OF ENTERTAINMENT


JOIN KENYASWAHILINEWS
!-- AdsAgony - Ad Display Code -->

MPYA MPYA ZA LEO

HABARI (193) Michezo (121) BURUDANI (86)

Ijumaa, 27 Aprili 2018

Baada Kuondoka Arsenal, Wenga Kwenda Kwenye Timu Hii


Siku kadhaa baada ya kupita toka kocha wa Arsenal Arsene Wenger kutangaza kuwa ataondoka Arsenal mara baada ya msimu kumalizika,  leo zimeripotiwa habari mpya kuhusu Arsene Wenger baada ya kocha wa PSG ya Ufaransa Unai Emery kutangaza kuwa nae ataondoka timu hiyo.

Unai Emery mwenye umri wa miaka 46 alitolewa Champions League akiwa hatua ya 16 bora “Nimewaambia wachezaji, mkurugenzi na Rais wa club kuwa huu ndio mwisho wangu, namshukuru kila mmoja na kilichobakia ni fainali ya Kombe la Ufaransa”

Wakati kukiendelea na maswali ya nani atamrithi Wenger katika club ya Arsenal baada ya kudumu kwa miaka 22, tayari Wenger ameanza kuhusishwa na tetesi za kuwa atajiunga na Paris Saint Germain ya Ufaransa kama mbadala wa kocha Unai Emery.