Mbunge wa Arusha Mjini Mhe. Godbless Lema leo April 27, 2018 amekamatwa na polisi na kufunguliwa kesi mpya kuhusu uchochezi kwa ndoto aliyowahi kuota kuhusu Rais Dkt. John Pombe Magufuli miaka miwili iliyopita. Mkurugenzi wa Itikadi, Mawasiliano na Mambo ya Nje wa CHADEMA, John Mrema amethibitisha hilo na kusema kuwa Lema leo alihudhuria Mahakamani kwa […]
NSTALL KATISHA BLOG KWENYE SIMU YAKO
bonyeza hapa chini uwe wakwanza kuhabarika