HOUSE OF ENTERTAINMENT


JOIN KENYASWAHILINEWS
!-- AdsAgony - Ad Display Code -->

MPYA MPYA ZA LEO

HABARI (193) Michezo (121) BURUDANI (86)

Jumamosi, 28 Aprili 2018

Kabla ya Kariakoo Derby, Dismas Ten amuandikia ujumbe mzito Donald Ngoma


Ikiwa imesalia siku moja pekee kabla ya mchezo wa watani wa jadi kupigwa hapo kesho kwenye dimba la Taifa Jijini Dar es Salaam, Afisa Habari wa klabu ya Yanga, Dismas Ten amemuandika ujumbe mfupi mshambuliaji wa timu hiyo, Mzimbabwe, Donald Ngoma ambaye amekosekana Uwanjani kwa muda mrefu.
Ten ameandika ujumbe huo kupitia ukurasa wake wa kijamii wa Instagram ukielezea hali halisi anayopitia mchezaji wao kwa hivi sasa.
”Ndiyo maana yakaitwa  maisha kuna wakati ni lazima upitie changamoto ili kuyashinda,” ameandika Ten huku akimalizia kwa muombea kwa Mungu, Donald Ngoma.

PATA HABARI HARAKA ZAID KWENYE SIMU YAKO
 INSTALL KATISHA BLOG APP

INSTALL KATISHA BLOG KWENYE SIMU YAKO

    BONYEZA HAPA KWENYA K
INSTALL KATISHA BLOG KWENYE SIMU YAKO
BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD KATISHA BLOG APP IN GOOGLE PLAY STORE ...ANDIKA KATISHA ...SEARCH