HOUSE OF ENTERTAINMENT


JOIN KENYASWAHILINEWS
!-- AdsAgony - Ad Display Code -->

MPYA MPYA ZA LEO

HABARI (193) Michezo (121) BURUDANI (86)

Jumatatu, 23 Aprili 2018

Taarifa ya Meya wa Ubungo kuvamiwa nyumbani


Kutoka kwenye ukurasa wa Twitter wa Meya wa Ubungo Boniface Jacob kumeandikwa yafuatayo

“Askari wenye uniform za JWTZ watatu na mmoja wao amevalia kiraia na ana video camera,”
“Wameiweka familia chini ya ulinzi, wanapekua kila mahali vyumbani bila mimi mwenye nyumba,polisi, Mjumbe kuwepo…naelekea huko muda huu” hayo ndio yaliyoandikwa kwenye ukurasa wa Twitter wa Meya Boniface Jacob.