HOUSE OF ENTERTAINMENT


JOIN KENYASWAHILINEWS
!-- AdsAgony - Ad Display Code -->

MPYA MPYA ZA LEO

HABARI (193) Michezo (121) BURUDANI (86)

Jumamosi, 14 Aprili 2018

Vinara wa mabao Ligi kuu ya vodacom

Mshambuliaji wa Simba Emanuel Okwi anaongoza mbio za kuwania kiatu cha dhahabu msimu huu baada ya kufikisha mabao 18.

Mshambuliaji mwingine wa Simba John Bocco yuko nafasi ya pili akiwa amefunga mabao 13.

Nafasi ya tatu inashikwa na mshambuliaji wa Yanga Obrey Chirwa aliyefunga mabao 12.

Hawa hapa vinara 10 bora;