HOUSE OF ENTERTAINMENT


JOIN KENYASWAHILINEWS
!-- AdsAgony - Ad Display Code -->

MPYA MPYA ZA LEO

HABARI (193) Michezo (121) BURUDANI (86)

Jumamosi, 18 Mei 2019

TANGAZO : NAFASI ZA MASOMO CHUO CHA UFUNDI KABALE BUKOBA. 2019

KABAKE  VOCATIONAL TRAINING CENTRE

P.O.BOX  319 BUKOBA- MOBILE:0759125405/0754201310/0765498187

                                         Email:kabalevt@gmail.com

       Affiliated  by  VETA

Reg   No. VETA/KGR/PR/2017/008/D.

Fomu ya kujiunga na mafunzo ya ufundi  na ujasiliamali. Asante kwa maombi  yako uliyotuletea hivi karibuni  ukiwa unaomba  kujiunga na kozi  inayotajwa  hapa chini.

Tunapenda kukutaarifu  umekubaliwa kujiunga na kozi hii kwa muhula utakaoanza tarehe………………………….

                                         

     KARO YA KILA KOZI ZINAZOFUNDISHWA  HAPA CHUON                       (TRAINING FEES)

Kozi za muda mrefu (Long course)Mwaka ,mmoja(1) kuendelea.

·  Electrical Installation(Umeme wa Tanesco)………………………………Tsh.540,000/=

·Kozi  ya Hotel Management  and outside Catering…………………….Tsh.500,000/=

  Kozi ya  Tourist guide  and Operation…………………………………………sh.540,000/=

   Secretarial course $ Computer Application  programmers…………Tsh.420,000/

    Masson and  Brick laying (Fundi Ujenzi)………....Tsh.400,000/=

Kozi za muda  mrefu (short Course) Miezi Mitatu (3) –Miezi sita (6).

·      Plumbing and  pipe  fitting (Ufundi  wa  mabomba)……………………...Tsh.300,000/=

·         Masomo  ya saloon  na  upambaji  wa maharusi……………………………Tsh.250,000/=

·         Electrical Installation,(Umeme wa Tanesco)……………….Tsh.270,000/=

·    

   Kozi ya Hotel Msnagement and  outside Catering………………………….Tsh.250,000/=

·         Kozi ya Tourist guide and Operation……………………Tsh.270,000/=

·         Secretarial  Course $ Computer Application programmes……………..Tsh.210,000/=

·         Masoon and Brik Laying (Fundi   …..Tsh.200,000/=

Masomo ya Ujasiliamali: Utengenezaji  wa  bidhaa  za viwanda ; Sabuni aina zote, Lotion,Shampoo,Dawa za nywele, dawa za viatu  na vinywaji baridi,  jiki,  chaki na upambaji kama vile  batiki, vikoi, mikoba na wallet na upambaji.

      

                             WASICHANA

Wanatakiwa  kuvaa  sketi rangi ya bluu , sharti rangi nyeupe lenye mikono mirefu.Sare zinapatikana chuoni kwa gharama ya Tsh 45,000/=. Mwanafunzi anatakiwa kuja na soksi nyeupe na viatu vyeusi.

                               WAVULANA

Wanatakiwa kuvaa suruali rangi ya bluu , sharti rangi nyeupe lenye mikono mirefu.Sare zinapatikana hapa chuo ni kwa gharama ya Tsh 45,00/=.Mwanafunzi anatakiwa kuja na soksi nyeupe na viatu vyeusi.

MAHITAJI   MENGINE  MUHIMU.

Ø  Pratical mafunzo kwa vitendo katika kozi zote………………..Tsh.30,000/=

Ø  Limu karatasi (1)A4………………………………………………………….Tsh.12,000/=

Ø  Gharama za mtihani wa Taifa…………………………………………Tsh.30,000/=

Ø  Study tour ……………………………………………………………………….Tsh.30,000/=

Ø  Caution money (Pesa ya tahadhari)…………………………………Tsh.10,000/=

Ø  T Shirt (1)………………………………………………………………………….Tsh.20,000/=

Ø  Malighafi (somo la  ujasiliamali)……………………………………..Tsh.20,000/=

HTELI NI BUREEEE

Chuo chetu kinatoa nafasi za Hostel kwa wale wanaotoka mbali, vilevile na kwa wanaopenda kuishi Hostel gharama ni bure. Mwanafunzi atapata kifungua kinywa (chai) bure.

NB:Chakulaunajitegemea


MAWASILIANO: 0683621253