HOUSE OF ENTERTAINMENT


JOIN KENYASWAHILINEWS
!-- AdsAgony - Ad Display Code -->

MPYA MPYA ZA LEO

HABARI (193) Michezo (121) BURUDANI (86)

Jumapili, 12 Novemba 2017

AJARI YA BASI NA NOAH YAUA WAWILI SINGIDA


AJARI YA UA WAWILI SINGIDA

Watu wawili wamefariki dunia wilayani Ikungi, Singida baada ya gari dogo kugongana na basi la abiria.
    
    Polisi wamesema kuna kila dalili kuwa dereva wa gari dogo alikuwa amelala.