HOUSE OF ENTERTAINMENT


JOIN KENYASWAHILINEWS
!-- AdsAgony - Ad Display Code -->

MPYA MPYA ZA LEO

HABARI (193) Michezo (121) BURUDANI (86)

Ijumaa, 13 Aprili 2018

Mamlaka ya hali ya Hewa yatoa tahadhari

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), imewataka wakazi wa mikoa ya Tanga, Dar es Salaam, Pwani, Morogoro, Lindi na Mtwara pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba kuchukua tahadhari kutokana na matarajio ya uwepo wa mvua kubwa inayozidi milimita 50, kuanzia usiku wa leo Aprili 13.