HOUSE OF ENTERTAINMENT


JOIN KENYASWAHILINEWS
!-- AdsAgony - Ad Display Code -->

MPYA MPYA ZA LEO

HABARI (193) Michezo (121) BURUDANI (86)

Jumamosi, 14 Aprili 2018

Mbunge Apiga Magoti Bungeni Kisa Hiki Hapa

Mbunge Apiga Magoti Bungeni Kisa Hiki Hapa
Mbunge wa Ileje (CCM) Janeth Mbene amepiga magoti bungeni na kumshukuru Rais John Magufuli kwa kupeleka maendeleo kwenye wilaya yake anayodai ilisahaulika.
Mbene amefanya kitendo hicho jana bungeni Aprili 13, wakati akichangia bajeti ya ofisi ya Rais kwa mwaka wa fedha 2018/19.
Mara baada ya kuruhusiwa kuchangia bajeti hiyo, Mbene alisema wilaya ya Ileje ni ya miaka mingi lakini ilikuwa haina barabara ya lami lakini katika Serikali Awamu ya Tano, barabara imejengwa.
Katika kuonyesha kuwa jambo hilo limemfurahisha, mbunge huyo alipiga magoti, pembeni ya kiti anachoketi bungeni akimshukuru Rais Magufuli.

DOWNLOAD KATISHA BLOG APP KWENYE SIMU YAKO
      BONYEZA HAPA CHINI

KATISHA BLOG

KATISHA BLOG
BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD KATISHA BLOG APP IN GOOGLE PLAY STORE ...ANDIKA KATISHA ...SEARCH