Rais Magufuli ameshangazwa na CCM pamoja na wananchi wanachama ambao walishindwa kuona umuhimu wake alipokuja kuomba ubunge wakati wa kura za maoni.
Amesema matokeo yake ubunge ukapotea na jimbo likakosa mtu makini wa kutekeleza ilani ya CCM na kuwaletea wananchi wa Iringa mjini maendeleo.
Rais Magufuli amesema kwa kutambua umuhimu na uimara wa Dr. Mahiga aliamua kumpa ubunge na uwaziri kwa manufaa ya wananchi wa Iringa mjini na taifa kwa ujumla.
Chanzo: TBC habari