Habari zilizotufikia hivi punde ni kwamba Mkuu wa mkoa mstaafu Mzee Abbas kandoro amefariki dunia usiku huu wa Ijumaa Aprili 27,2018 katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili Jijini Dar es salaam alikolazwa kwa matibabu. M/mungu Ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi. AMIN
Taarifa zaidi tutawaletea hivi punde