HOUSE OF ENTERTAINMENT


JOIN KENYASWAHILINEWS
!-- AdsAgony - Ad Display Code -->

MPYA MPYA ZA LEO

HABARI (193) Michezo (121) BURUDANI (86)

Jumamosi, 28 Aprili 2018

Tukio la Kuuawa Watoto 140 kwa Wakati Mmoja Kama Sadaka Lagundulika


Hivi karibuni wataalamu wamegundua kinachofikiriwa kuwa tukio kubwa zaidi la mauaji dhidi ya watoto kwenye historia ya dunia.

Imegundulika kwamba zaidi ya watoto 140 waliuawa kama sadaka kwa wakati mmoja katika moja ya miji ya Pwani ya Kaskazini ya nchini Peru, takribani miaka 550 iliyopita.

Inaelezwa pia sadaka ya watoto hao ilitolewa pamoja na aina ya miti ambayo ilikuwa michanga iliyojulikana kama Ilama siku hiyo hiyo waliouawa watoto.

Mdogo wa Mbunge John Heche asababishiwa kifo kwa kuchomwa kisu

Watoto hao 140 wanaelezwa kuwa walikuwa na umri wa kuanzia miaka mitano hadi 14 japokuwa wengi wao walikuwa kati ya miaka 8 hadi 12