HOUSE OF ENTERTAINMENT


JOIN KENYASWAHILINEWS
!-- AdsAgony - Ad Display Code -->

MPYA MPYA ZA LEO

HABARI (193) Michezo (121) BURUDANI (86)

Jumanne, 22 Mei 2018

IGP SIRRO AKUTANA RAIS WA TLS PAMOJA NA BALOZI WA UFARANSA NCHINI



Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro, akimsikiliza Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) Fatma Karume (Kulia), aliyeongozana na wajumbe wake wawili Makao Makuu ya Jeshi hilo jijini Dar es salaam leo kwa lengo la Kujitambulisha na pia kujadiliana masuala mbalimbali ya kisheria.

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro, akizungumza na Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) Fatma Karume (Kulia), wakati alipomtembelea ofisini kwake Makao Makuu ya Jeshi hiIGP SIRRO AKUTANA NA BALOZI WA UFARANSA NCHINI

lo jijini Dar es salaam leo kwa lengo la kujitambulisha tangu alipochaguliwa kuwa Rais wa Chama hicho na pia kujadiliana masuala mbalimbali ya kisheria.

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro, akizungumza na Balozi wa Ufaransa nchini Tanzania, Frederic Clavier (katikati), alipomtembelea ofisini kwake Makao Makuu ya Jeshi hilo jijini Dar es salaam leo, ambapo balozi huyo imeahidi kuendelea kushirikiana na Jeshi hilo kwenye masuala mbalimbali ya kiusalama. Picha na Jeshi la Polisi.