HOUSE OF ENTERTAINMENT


JOIN KENYASWAHILINEWS
!-- AdsAgony - Ad Display Code -->

MPYA MPYA ZA LEO

HABARI (193) Michezo (121) BURUDANI (86)

Jumanne, 1 Mei 2018

Jack Pemba Avujisha Video yake ya Ngono


Aliyewahi kuwa bwana wake Auntie Ezekiel Pedej'ee Jack Pemba ambaye kwasasa anaishi nchini Uganda akifahamika kwamba ni Raia kutoka Kongo, wiki hii ka trend kwenye vyombo vya habari vya nchini humo baada ya video yake akiwa anakula tunda bila chenga kuvuja huku ikidaiwa kaivujisha mwenyewe.

Video hiyo ambayo anaonekana akiwa na mdada ajulikanaye kama Honey Suleman ambaye inasemekana ni rafiki mkubwa wa mke wa Jack Pemba hadi wanaitana ndugu.

Kwenye video hiyo Jack kaficha uso wake huku akimwacha mdada aonekane.
Honey anadai ya kwamba video hiyo waliirekodi wakati wakiwa penzini na Jack Pemba alimtaka ampatie 5,000$ asiivujishe jambo ambalo Honey anasema hakuwa tayari kufanya hivyo akamwambia avujishe tu maana hayuko tayari kuwa blackmailed.

Aliongeza kuwa bado Jack Pemba anazo video nyingine mbili hivyo bora tu aziachie zote maana hatishiki.

Jack Pemba ambaye kwa sasa inadaiwa kafulia hali tia maji tia maji ana madeni mengi mpaka kuweka gari zake rehani imewashangaza wana Uganda kusikia ana nyemelea mpaka ela ndogo kiasi hicho wakati awali alikuwa anaosha gari zake kwa pome za bei ghali.

Kutokana na maadili ya Udaku Special Blog video sitoiweka ila pichani ni Jack Pemba na Honey.
Mitandaoni watu wanamsifia Honey kwa jinsi alivyokuwa anajituma na mauno kama fifi moto wakati wakimponda kuwa kakauka hana maji kabisa.