HOUSE OF ENTERTAINMENT


JOIN KENYASWAHILINEWS
!-- AdsAgony - Ad Display Code -->

MPYA MPYA ZA LEO

HABARI (193) Michezo (121) BURUDANI (86)

Alhamisi, 3 Mei 2018

Majonzi: Wachezaji wawili wapoteza maisha Mei Mosindoka na

Ajali hiyo ilitokea jana usiku wakati wakitokea kwenye maadhimisho ya Mei Mosi wilayani Newala.

Mtwara. Msemaji wa Chama cha Mpira wa Miguu mkoani Mtwara (Mtwarefa), Juma Mohamed amethibitisha kotokea kwa ajali iliyowahusisha wachezaji wa timu ya Mwena FC ya Ndanda wilayani Masasi.
Mohamed amesema ajali hiyo ilitokea jana usiku wakati wakitokea kwenye maadhimisho ya Mei Mosi wilayani Newala.
Amesema watu wawili wameripotiwa kupoteza maisha na kwamba taarifa za kina zitatolewa baadaye mchana.