HOUSE OF ENTERTAINMENT


JOIN KENYASWAHILINEWS
!-- AdsAgony - Ad Display Code -->

MPYA MPYA ZA LEO

HABARI (193) Michezo (121) BURUDANI (86)

Jumatatu, 7 Mei 2018

ROMMY Jones Kusuka Twende Kilioni ili Afanane na Wema Sepetu

Rommy Jones amuahidi Wema Sepetu kwamba na yeye ataenda kusuka nywele mtindo wa twende kilioni ili afanane na Wema Sepetu.

Uamuzi huo wa Rommy Jones umekuja mara baada ya Wema kupost picha akiwa amesuka nywele kwa mtindo huo.

Kauli ya Rommy imeibua maswali mengi sana kwa wadau mbalimbali wengine wakimuunga mkono wazo lake huku wengine wakimkandia vibaya sana.