HOUSE OF ENTERTAINMENT


JOIN KENYASWAHILINEWS
!-- AdsAgony - Ad Display Code -->

MPYA MPYA ZA LEO

HABARI (193) Michezo (121) BURUDANI (86)

Jumanne, 17 Aprili 2018

Breaking:AJALI MBAYA...FUSO LAGONGANA NA GARI NDOGO NA KUUA KAHAMA


Breaking:AJALI MBAYA...FUSO LAGONGANA NA GARI NDOGO NA KUUA KAHAMA


Habari ziloizotufikia hivi punde zinasema ajali mbaya ya gari imetokea usiku wa kuamkia leo April 17,2018 mjini Kahama barabara kuu iendayo Rwanda karibu kabisa na kiwanda cha Ndegesera,ajali hiyo imehusisha gari aina ya Fuso yenye namba T453 AUM

na gari ndogo aina ya Vorkswagen yenye namba T819 DFK ambapo dereva wa fuso akijaribu kuovateki lori lililokuwa mbele yake aliligonga gari dogo kisha gari ndogo kutumbukia mtaroni na kuua abiria watatu wakiwemo watoto wawili na dereva wa gari hilo pia abiria wawili kujeruhiwa vibaya.

Taarifa zaidi zitakujia hivi punde...