HOUSE OF ENTERTAINMENT


JOIN KENYASWAHILINEWS
!-- AdsAgony - Ad Display Code -->

MPYA MPYA ZA LEO

HABARI (193) Michezo (121) BURUDANI (86)

Jumatatu, 9 Aprili 2018

Mhasibu manispaa ya Dodoma Ajinyonga

Mhasibu wa Manispaa ya Dodoma, Charles Gongwe amekutwa amefariki kwa kujinyonga nyumbani kwake eneo la Area C, Kata ya Kiwanja cha Ndege mjini Dodoma.

Ofisa Habari wa Manispaa ya Dodoma, Ramadhani Juma amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema uchunguzi bado unaendelea.