HOUSE OF ENTERTAINMENT


JOIN KENYASWAHILINEWS
!-- AdsAgony - Ad Display Code -->

MPYA MPYA ZA LEO

HABARI (193) Michezo (121) BURUDANI (86)

Jumatatu, 9 Aprili 2018

Mmiliki wa lori lililo gongana na basi laCity Boy Akamatwa

Jeshi la Polisi Mkoa wa Ruvuma linamshikilia mmiliki wa lori aina ya Mitsubishi Fuso lililogongana na basi la City Boy wilayani Igunga, mkoani Tabora wiki iliyopita na kusababisha vifo vya watu 12.

Aidha Polisi bado inawasaka dereva na utingo wa lori hilo waliokimbia.