HOUSE OF ENTERTAINMENT


JOIN KENYASWAHILINEWS
!-- AdsAgony - Ad Display Code -->

MPYA MPYA ZA LEO

HABARI (193) Michezo (121) BURUDANI (86)

Alhamisi, 12 Aprili 2018

Muamuzi Aibeba Madrid 

Muamuzi Aibeba Madrid 
Dalili za filamu iliyowatokea jana Barcelona zilianza kuonekana kama zinawatokea Real Madrid, hadi dakika ya 90 Juventus tayari walikuwa mbeleni kwa mabao 3 kwa 0 katika dimba la Santiago Bernabeu.
Shukrani kwa muamuzi Michael Oliver ambaye dakika ya 92 alitoa tuta kwa Real Madrid ambalo liliwapa bao ambalo liliitupa nje ya michuano ya Ulaya Juventus huku mlinda lango wao Gianluigi Buffon akipewa kadi nyekundu.
Bao la leo la Cristinao Ronaldo limeweka rekodu ya mchezaji mmoja kufunga mabao mengi dhidi ya mpinzani mmoja (10) akiivunja rekodi yake mwenyewe ya mabao 9 vs Bayern na Lionel Messi mabao 9 vs Arsenal.
Huko Allianz Arena Bayern Munich walisuluhu bao sifuri kwa sifuri na Sevilla, matokeo haya yanawafanya Barca kufudhu kwa aggregate ya bao 2-1 baada ya ushindi walioupata Hispania wiki iliyopita.
DOWNLOAD KATISHA BLOG APP

KATISHA BLOG

KATISHA BLOG
BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD KATISHA BLOG APP IN GOOGLE PLAY STORE ...ANDIKA KATISHA ...SEARCH

Kwa matokeo ya leo yanafanya nusu fainali kuwa na muwakilishi kutoka Italia, Ujerumani, Uingereza na Hispania, hii ikiwa mara ya kwanza kwa nusu fainali ya namna hiyo kutokea tangu mwaka 2010.