HOUSE OF ENTERTAINMENT


JOIN KENYASWAHILINEWS
!-- AdsAgony - Ad Display Code -->

MPYA MPYA ZA LEO

HABARI (193) Michezo (121) BURUDANI (86)

Jumatatu, 30 Aprili 2018

SIMBA YAIBAMIZA YANGA BAO 1-0

Simba wameibuka washindi kwenye mechi dhidi ya mahasimu wao Yanga sasa unawafanya Wekundu Wa Msimbazi kuhitaji pointi 5 kutawazwa mabingwa wa ligi kuu ya Tanzania Bara.

Kikosi cha Timu ya Yanga

Kikosi cha Timu ya Simba





Shabiki wa Yanga akiwa ahamini kilichotokea





Mashabiki wa timu ya Simba wakishangilia kwa furaha mara baada ya timu yao kufunga goli