HOUSE OF ENTERTAINMENT


JOIN KENYASWAHILINEWS
!-- AdsAgony - Ad Display Code -->

MPYA MPYA ZA LEO

HABARI (193) Michezo (121) BURUDANI (86)

Alhamisi, 12 Aprili 2018

Tanzania yapanda viwango vya fifa

Tanzania yapanda viwango vya fifa

Tanzania ambayo ni ya 137 imepiga hatua tisa juu huku Uganda ambayo ni ya 74 duniani, ikipanda nafasi nne.

Harambee Stars imeonekana kushuka baada ya sare ya mabao 2-2 dhidi ya Comoros na kufungwa mabao 3-2 na Jamhuri ya Afrika ya Kati, katika michuano ya Kimataifa ya kirafiki mwezi uliopita.

Tanzania nayo mwezi uliopita, iliifunga DRC mabao 2-0 kabla ya kufungwa na Algeria mabao 4-1 katika mchuano mwingine wa kirafiki.

Ushindi wa Uganda dhidi ya Sao Tome Principe na sare dhidi ya Ushelisheli, imewasaidia vijana hao wa kocha Sebastien Desabre kupiga hatua.

Ubora wa timu za taifa katika mchezo wa soka hutolewa kila mwaka huu.