HOUSE OF ENTERTAINMENT


JOIN KENYASWAHILINEWS
!-- AdsAgony - Ad Display Code -->

MPYA MPYA ZA LEO

HABARI (193) Michezo (121) BURUDANI (86)

Jumapili, 8 Aprili 2018

Watu 3 Kati ya 6 Waliotoweka Siku 5 Zilizopita Wapatikana Wakiwa hai

Watu 3 Kati ya 6 Waliotoweka Siku 5 Zilizopita Wapatikana Wakiwa hai

PEMBA: Watu 3 kati ya 6 waliotoweka siku 5 zilizopita wapatikana wakiwa hai. Jeshi la Polisi linaendelea na utaratibu wa kuwahoji.

Waliopatikana ni Juma Kombo Fimbo (17), Said Shanani Mohamed (16) na Abdallah Khamis Abdallah (19)

Imeelezwa vijana hao walionekana alfajiri, wawili kati yao mikononi wakiwa na kamba.

Taarifa kamili kuhusu tukio zima la kutekwa nyara kwa vijana hao itatolewa na Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Kaskazini walikotoweka vijana hao siku 5 zilizopita