HOUSE OF ENTERTAINMENT


JOIN KENYASWAHILINEWS
!-- AdsAgony - Ad Display Code -->

MPYA MPYA ZA LEO

HABARI (193) Michezo (121) BURUDANI (86)

Jumanne, 17 Aprili 2018

Zitto Kabwe: Kuna tatizo kwa namna ambavyo ripoti ya CAG inavyoshughulikiwa

Zitto Kabwe: Kuna tatizo ya namna ambavyo ripoti ya CAG inavyoshughulikiwa
Mjadala mkali unaendelea nchini Tanzania baada ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, CAG, Prof. Mussa Assad kutoa taarifa yake ya ukaguzi wa mapato na matumizi ya fedha za umma kwa mwaka 2016/17. Taarifa hiyo ilio wazi kwa umma, baada ya kukabidhiwa rasmi bungen imepokewa Kwa hisia tofauti huku baadhi wakihoji upotevu wa fedha za umma ambazo inasemekana huenda zimepotea.
Zitto Kabwe ambae ni mwanzilishi wa Chama cha ACT Wazalendo amezungumza na BBC kuhusu matokeo ya ripoti hiyo:
Source: bbc

INSTALL KATISHA BLOG KWENYE SIMU YAKO


INSTALL KATISHA BLOG KWENYE SIMU YAKO
BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD KATISHA BLOG APP IN GOOGLE PLAY STORE ...ANDIKA KATISHA ...SEARCH