HOUSE OF ENTERTAINMENT


JOIN KENYASWAHILINEWS
!-- AdsAgony - Ad Display Code -->

MPYA MPYA ZA LEO

HABARI (193) Michezo (121) BURUDANI (86)

Jumanne, 17 Aprili 2018

Watu 9 waripotiwa kufariki dunia Dar es salam

Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar, Lazaro Mambosasa amesema kuwa, mpaka sasa watu tisa wameripotiwa kufariki kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha, huku wengine 6 wakijeruhiwa baada ya kuangukiwa na ukuta.

Amesema baadhi ya waliofariki miili yao ilikutwa ikielea.