Mkutano Mkuu wa wanachama wa klabu ya Yanga unafanyika Jumapili ijayo May 06 jijini Dar es salaam.
Hizi hapa ajenda za Mkutano huo;
Uhakiki wa wajumbe walio hudhuria mkutano
Kuthibitisha ajenda
Kuthibitisha kumbu kumbu za mkutano uliopita
Yatokanayo na kumbu kumbu za mkutano uliopita
Hotuba ya Mwenyekiti
Kupokea na kujadili taarifa za kazi kutoka kamati ya utendaji
Kuthibitisha hesabu Zach fedha zilizo kaguliwa kwa mwaka uliopita
Kuthibitisha taarifa ya chombo cha ukaguzi na hatua zilizo chukuliwa na vyombo vya utendaji
Kuthibitisha kwa bajeti (Makadirio /makisio) ya mwaka unaofuata
Uchaguzi wa nafasi zilizowazi
Kupitia Mapendekezo ya marekebisho ya katiba na taratibu za Young Africans Sc
Majadiliano ya Mapendekezo yaliyo wasilishwa na Kamati ya utendaji
Wanachama watakaoruhusiwa kuingia katika Mkutano huo ni wale ambao wamelipia ada zao za uanachama