HOUSE OF ENTERTAINMENT


JOIN KENYASWAHILINEWS
!-- AdsAgony - Ad Display Code -->

MPYA MPYA ZA LEO

HABARI (193) Michezo (121) BURUDANI (86)

Jumamosi, 5 Mei 2018

Nicki minaj- Chin Li

Baada ya kupita miezi minne bila ya kuachia ngoma mpya, Nicki Minaj amekuja kwa hasira kwa kuachia video mbili kwa mpigo.
Rapper huyo ameachia video ya wimbo wake ‘Chun-Li’ na ‘Barbie Tingz’. Wimbo wake wa mwisho ulikuwa ni Motorsport ambao aliimba na Migos pamoja na Cardi B.
Mpaka sasa video ya Chun-Li imeshatazamwa zaidi ya mara milioni tano kwenye mtandao wa YouTube, wakati ‘Barbie Tingz’ ikiwa imetazamwa zaidi ya mara milioni tatu. Tazama hapa chini video zote mbili.
Chun-Li