HOUSE OF ENTERTAINMENT


JOIN KENYASWAHILINEWS
!-- AdsAgony - Ad Display Code -->

MPYA MPYA ZA LEO

HABARI (193) Michezo (121) BURUDANI (86)

Jumamosi, 5 Mei 2018

Simba kucheza na Ndanda Kesho


Kikosi cha Simba kinafanya mazoezi yake ya mwisho kuelekea mchezo wa ligi dhidi ya Ndanda utakaopigwa Uwanja wa Taifa Dar es Salaam kesho Jumapili.
Simba inafanya mazoezi hayo kwenye Uwanja wa Boko Veterani uliopo pembezoni kidogo mwa jiji la Dar es Salaam.
Taarifa kutoka kambini zinasema kuwa hali ya wachezaji kiafya iko vizuri na hakuna aliye majeruhi hivi sasa.
Simba itakuwa inaingia kukabiliana na Ndanda ikiwa na kumbukumbu ya ushindi dhidi ya Yanga wa bao 1-0 Jumapili ya wiki jana.

PATA HABARI KWA  HARAKA ZAIDI KWENYE SIMU YAKO Download katisha blog App👇👇Bonyeza hapa👇👇https://play.google.com/store/apps/details?id=com.katisha.blog BLOG APP