HOUSE OF ENTERTAINMENT


JOIN KENYASWAHILINEWS
!-- AdsAgony - Ad Display Code -->

MPYA MPYA ZA LEO

HABARI (193) Michezo (121) BURUDANI (86)

Jumamosi, 9 Juni 2018

Zamaradi Ajifungua Mtoto wa Kiume




Mtangazaji maarufu wa TV, Zamaradi Mketema ambaye pia ni mdau mkubwa katika tasnia ya Bongo movie ametangaza habari njema  usiku kuamkia leo baada ya kujifungua mtoto wake jioni ya jana.

Zamaradi amefanikiwa kujifungua mtoto wake wa tatu ambaye ni wa kiume lakini huyu atakuwa mtoto wake wa kwanza na mume wake Shabani.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram haya ndo maneno aliyoyatupia ”

Asante MUNGU kwa zawadi hii

Its a BOY Alhamdulillah!!😊🙏🏿🙏🏿🙏🏿