HOUSE OF ENTERTAINMENT


JOIN KENYASWAHILINEWS
!-- AdsAgony - Ad Display Code -->

MPYA MPYA ZA LEO

HABARI (193) Michezo (121) BURUDANI (86)

Jumapili, 15 Aprili 2018

Kikosi cha yanga chaifata wolaitta Dicha

Kikosi cha Yanga kinatarajiwa kuondoka kesho Jumapili, April 15 kwenda nchini Ethiopia kwa ajili ya mchezo wa marudiano kombe la Shirikisho dhidi ya Wolaitta Dicha.

Afisa Habari wa Yanga Dismas Ten amesema msafara huo unaondoka kesho utakuwa na wachezaji 20 na viongozi 13 ambapo wanane kati yao ni wa benchi la Ufundi.

Yanga itaikabili Dicha Jumatano ijayo katika mchezo utakaopigwa mji wa Hawassa.

Tayari Yanga iko mbele kwa mabao 2-0 hivyo inahitaji ushindi au matokeo ya sare ili kujihakikishia inasonga mbele hatua ya makundiKikosi cha Yanga kinatarajiwa kuondoka kesho Jumapili, April 15 kwenda nchini Ethiopia kwa ajili ya mchezo wa marudiano kombe la Shirikisho dhidi ya Wolaitta Dicha.

Afisa Habari wa Yanga Dismas Ten amesema msafara huo unaondoka kesho utakuwa na wachezaji 20 na viongozi 13 ambapo wanane kati yao ni wa benchi la Ufundi.

Yanga itaikabili Dicha Jumatano ijayo katika mchezo utakaopigwa mji wa Hawassa.

Tayari Yanga iko mbele kwa mabao 2-0 hivyo inahitaji ushindi au matokeo ya sare ili kujihakikishia inasonga mbele hatua ya makundi