Bw;Railla Odinga kukutana na rais Afrika kusini Cyphril Ramaphosa kabla ya kurudi nchini Kenya
Mshauri wa Odinga Bw;Jackson Jakakimba amesema kikao cha Odinga na Rais wa Afrika Kusini bw; Cyphril Ramaphosa kitakuwa cha siri [ private]
Inafahamika Odinga ana urafiki wa karibu na Cyphril Ramaphosa ata kabla hajakuwa rais wa Afrika kusini hivi karibuni,,,
Raila Odinga ni kati ya viongozi wa upinzanii mwenye marafiki wengi ambao kwa sasa wapo madarakani mfano mzuri ni rais wa GHANA Bw : Nana Akufo-Addo,Rais wa Ivory Coast Bw;Alassane Ouattara ,Rais wa msumbiji Bw; Filipe Nyusi ,Rais wa Tanzania John Magufuli
!-- AdsAgony - Ad Display Code -->