HOUSE OF ENTERTAINMENT


JOIN KENYASWAHILINEWS
!-- AdsAgony - Ad Display Code -->

MPYA MPYA ZA LEO

HABARI (193) Michezo (121) BURUDANI (86)

Jumapili, 15 Aprili 2018

Railla Odinga kukutana na rais Afrika kusini Bw; Cyphril Ramaphosa kabla ya kurudi nchini Kenya


Bw;Railla Odinga kukutana na rais Afrika kusini Cyphril Ramaphosa kabla ya kurudi nchini Kenya 
Mshauri wa Odinga Bw;Jackson Jakakimba amesema kikao cha Odinga na Rais wa Afrika Kusini bw; Cyphril Ramaphosa kitakuwa cha siri [ private]
Inafahamika Odinga ana urafiki wa karibu na Cyphril Ramaphosa ata kabla hajakuwa rais wa Afrika kusini  hivi  karibuni,,, 
Raila Odinga ni kati ya viongozi wa upinzanii mwenye marafiki wengi ambao kwa  sasa wapo madarakani mfano mzuri ni rais wa GHANA Bw : Nana Akufo-Addo,Rais wa Ivory Coast Bw;Alassane Ouattara ,Rais wa msumbiji Bw; Filipe Nyusi ,Rais wa Tanzania John Magufuli