HOUSE OF ENTERTAINMENT


JOIN KENYASWAHILINEWS
!-- AdsAgony - Ad Display Code -->

MPYA MPYA ZA LEO

HABARI (193) Michezo (121) BURUDANI (86)

Jumatano, 11 Aprili 2018

Patashika ya Ligi kuu soka Tanzania bara kuendelea leo

Patashika ya Ligi kuu soka Tanzania bara kuendelea leo,
Katika dimba la Taifa, Yanga SC kukipiga na Singida United, utashuhudia pambano hili Live kupitia Azam Sports 2, kuanzia saa 10:00 Jioni.

Katika uwanja wa Mwadui Complex wenyeji Mwadui FC kucheza na Lipuli FC Wanapaluhengo, Azam Sports HD, kukuletea mbashara mchezo huu, kuanzia saa 10:00 Jioni.