HOUSE OF ENTERTAINMENT


JOIN KENYASWAHILINEWS
!-- AdsAgony - Ad Display Code -->

MPYA MPYA ZA LEO

HABARI (193) Michezo (121) BURUDANI (86)

Jumatatu, 9 Aprili 2018

TANZIA: Mwenyekiti mstaafu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Lindi

TANZIA: Mwenyekiti mstaafu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Lindi, Alhaj Ally Mtopa amefariki dunia leo Alfajiri katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, alipokuwa amelazwa kwa aajili ya kupatiwa matibabu.