HOUSE OF ENTERTAINMENT


JOIN KENYASWAHILINEWS
!-- AdsAgony - Ad Display Code -->

MPYA MPYA ZA LEO

HABARI (193) Michezo (121) BURUDANI (86)

Jumatatu, 23 Aprili 2018

TCRA yashauri jinsi ya kusuluhisha changamoto kesi za mitandaoni


Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania (TCRA) imetaja changamtoto tano za uendeshaji kesi zinazotokana na makosa ya mtandao. Changamoto hizo zimetajwa kuwa ni uelewa mdogo wa majaji, mahakimu na wanasheria, ushahidi wa kuwasilisha, kufutika kirahisi, uchunguzi, na wapi pa kupeleka malalamiko hayo. Mwanasheria mwandamizi kutoka TCRA, Dk Philip Philikunjombe amewataka majaji na mahakimu na wanasheria […]