HOUSE OF ENTERTAINMENT


JOIN KENYASWAHILINEWS
!-- AdsAgony - Ad Display Code -->

MPYA MPYA ZA LEO

HABARI (193) Michezo (121) BURUDANI (86)

Jumatatu, 21 Mei 2018

Good news: Kichuya afanya haya ..

Winga wa Klabu ya Simba Shiza Ramadhan Kichuya ameweka rekodi ya kutengeneza mabao 24 kati ya 61 yaliyofungwa na Klabu ya Simba msimu uliomalizika wa 2017/18. Kichuya amefanikiwa kufunga magoli 7 katika Ligi kuu hiyo msimu 2017/18.
Neno moja kwa Kichuya.