HOUSE OF ENTERTAINMENT


JOIN KENYASWAHILINEWS
!-- AdsAgony - Ad Display Code -->

MPYA MPYA ZA LEO

HABARI (193) Michezo (121) BURUDANI (86)

Jumatatu, 21 Mei 2018

Jana usiku Iniesta amecheza mechi yake ya mwisho akiwa na Barcelona baada ya miaka 22 akiwa na timu hiyo.


Katika mechi hiyo ambayo ilichezwa katika uwanja wa Camp Nou na kuhudhuriwa na mashabiki zaidi ya 90,000, Barca waliibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Real Sociedad.